Mzee wetu Cal. Mika Metili (78) akiwa na mkewe mpya (27) ktk ndoa iliyofungwa KKKT USH WA ILBORU 09.01.2022
Walianza na utaratibu wa kurudi kundini na kibatiza mtoto wao wa miezi 7.
Mke wa kwanza wa Col. Metili alifariki 2021 kwa tatizo la upumuaji.
Tuwatakie ndoa njema na amani tele mzee wetu Mika na mjukuu wake huyu!
Vijana mmelaaalaaa,.laaalaaa..laaa!!!
View attachment 2077421