Selfika na JF: Snap it. Show it

Well said
 
Pole na safari ...

Nafurahi kuwa umeonja ukarimu wa Wasukuma. Na hapo bado hujafika kijijini sasa. We acha tu!
View attachment 2077415
🤣🤣🤣🤣🤣🤣✌️✌️✌️ Wasukuma ni hatareee.... Mpo vizuri mnoooo mnoooooooo! Huo ugali wa mtu mmoja sio!! 😜😳😳Mbona mnataka kuninenepesha tenaaaaa jamani Nina oparesheni maintain- mwili mjuee !
 
Mzee wetu Cal. Mika Metili (78) akiwa na mkewe mpya (27) ktk ndoa iliyofungwa KKKT USH WA ILBORU 09.01.2022

Walianza na utaratibu wa kurudi kundini na kibatiza mtoto wao wa miezi 7.

Mke wa kwanza wa Col. Metili alifariki 2021 kwa tatizo la upumuaji.

Tuwatakie ndoa njema na amani tele mzee wetu Mika na mjukuu wake huyu!

Vijana mmelaaalaaa,.laaalaaa..laaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…