Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

I was showing off maana tunachukuliana poa sana humu ndani.
Asante cute.
Humu unaweza kuitwa mgumba kumbe una watoto wa kutosha tena wenye afya zao.
Unaweza kuitwa single mother kumbe una mume na anakupenda na anakujali.
Unaweza kuitwa mal. aya unajiuza nk.. Kumbe una maisha mazuri tuu ambao hao wanaokuita kwao ni maisha ya ndoto zao.
Unaweza kuitwa jobless kumbe una ajira tena ya kudumu ambayo kuiacha ni siku ya kustaafu.
Kifupi huku ndivyo tulivyo baadhi yetu.
 
Humu unaweza kuitwa mgumba kumbe una watoto wa kutosha tena wenye afya zao.
Unaweza kuitwa single mother kumbe una mume na anakupenda na anakujali.
Unaweza kuitwa mal. aya unajiuza nk.. Kumbe una maisha mazuri tuu ambao hao wanaokuita kwao ni maisha ya ndoto zao.
Unaweza kuitwa jobless kumbe una ajira tena ya kudumu ambayo kuiacha ni siku ya kustaafu.
Kifupi huku ndivyo tulivyo baadhi yetu.
Umemaliza kila kitu.
 
Humu unaweza kuitwa mgumba kumbe una watoto wa kutosha tena wenye afya zao.
Unaweza kuitwa single mother kumbe una mume na anakupenda na anakujali.
Unaweza kuitwa mal. aya unajiuza nk.. Kumbe una maisha mazuri tuu ambao hao wanaokuita kwao ni maisha ya ndoto zao.
Unaweza kuitwa jobless kumbe una ajira tena ya kudumu ambayo kuiacha ni siku ya kustaafu.
Kifupi huku ndivyo tulivyo baadhi yetu.
Fanya maarifa basi furaidei ndio hii ujue.... Na hali ya hewa kama unavyoona inahamasisha....
 
Humu unaweza kuitwa mgumba kumbe una watoto wa kutosha tena wenye afya zao.
Unaweza kuitwa single mother kumbe una mume na anakupenda na anakujali.
Unaweza kuitwa mal. aya unajiuza nk.. Kumbe una maisha mazuri tuu ambao hao wanaokuita kwao ni maisha ya ndoto zao.
Unaweza kuitwa jobless kumbe una ajira tena ya kudumu ambayo kuiacha ni siku ya kustaafu.
Kifupi huku ndivyo tulivyo baadhi yetu.
Sure kabisaaa.....
Nilijisikia vibaya sana waliokua wanatoa mapovu kwa zile picha za wale wadada wawili zilizotumwa humu......

Mtu unajiuliza hawa ni rijali kweli ama
 
Daaaaah
20191011_115638.jpeg
 
Ndivyo baadhi yetu tulivyo mkuu.
Sure kabisaaa.....
Nilijisikia vibaya sana waliokua wanatoa mapovu kwa zile picha za wale wadada wawili zilizotumwa humu......

Mtu unajiuliza hawa ni rijali kweli ama
 
Back
Top Bottom