Refer:
Isaya 14:13
Nawe ulisema moyoni mwako,....
Mungu anaangalia wazo.. Pumzi ya mwanadamu ni taa ya Bwana.. pia neno liasisitiza.... tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo....
Angalia sana unachowaza.. ndio. maana hata kuzini.. ni pale unapo tazama kwa tamaa na ukaanza ku process.. tayari ni action.. ulimwengu wa roho... wazo ni object..