Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama mimi maana siulewi mbele , ila wakongo wanaimba jamani .
Kikiisha tu kipande cha huyu Mungu ni Baba nabadili,nawaweka wale watoto wa Tafes ARU "Ayeee simuachi Yesu"
Kiisha kipande hicho naweka" kidoe"
Nashushia john Lisu "upendo"
Namalizia "yesu ni wimbo wangu " DE Gloire.

Hapo tayari nakuwa nishasweat kwa step...napumzika.

Mungu ana nyimbo nyingi jamani.
 
Nakuelewa mtu wa rohoni. Unanikumbuaha rafiki angu mmoja, yeye utamuona tu anatingisha kichwa, ujue kumekucha
Kabla hamjaomba ( God knows).. level ya kwanza ya maombi ni wazo.. kadri unavyo process wazo lako ni maombi tayari alafu kuna ile una energize spirit ndio tunaingia in speaking in languages..
 
Ongezea Fanda nayo, Kiti Ofandi afu napumzikia kwa Gcina Impilo Yami
 
Hata Fanda na yo wanaongea kifaransa mbele
hakika nyimbo ni sifa kweli .

nimekuwa addicted na nyimbo siwezi lala bila kuziweka zipige hadi asubuhi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…