Selfika na JF: Snap it. Show it

Naona jana baada ya mastory yenu mlienda kuzipunguza eeeh! ama kweli kwenye njaa mpe kushiba anatuliaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kijana wa hovyo, akuuuuh mie hata huwa sifanyi mambo ya wakubwa, bado mtoto mie.
Eti shos mahondaw mie c mtoto? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna siku nilikunywa robotatu kikombe baada ya masaa niliongea kingereza na kila anaeniongelesha namjibu kingereza [emoji1787]! Leo tena ngoja nione itaifanya nini..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaongea kichina sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…