Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,736
Naam mkuuMwananchi...
Naam mkuuMwananchi...
Happy new year loveYanga
Happy new year dada mzuri
Dada mzuri kama huyo halafu kizuri zaidi ni Yanga.Mwananchi...
Amen Mkuu.Kusema kweli hiyo rangi ya mtume kwetu ni changamoto sana. Siku nikija huko uliko sijui itakuwaje.
Mwaka mpya mwema mkuu na wapendwa wako. You have a very nice family. Mungu Awabariki![]()
Na kwa kweli unatunyanyasa. Hata tunaoomba kuja PM kwako kufuatilia hiyo picha wala hujibu dah!Ndiyo.
Ngoja niwanyanyase watu na picha yako
Ambao hawajaona kazi wanayo.
Mwingine nani aliyeiona jamani??? Doh watu waliisubiria kwa hamuuu!!!😂Na kwa kweli unatunyanyasa. Hata tunaoomba kuja PM kwako kufuatilia hiyo picha wala hujibu dah!
Yaani sijui nimeikosaje wakati nimetagiwa kabisa. Mwaka huu unaanza na majuto ya kiboya sana. Sijapenda!
Eti picha ya Mama Mchungaji imenipita. We ulisikia wapi? Sikubali. Nitapambana mpaka niipate wallahi!Mwingine nani aliyeiona jamani??? Doh watu waliisubiria kwa hamuuu!!!![]()

Hahaa... kasema ilikua jaribio Naamini nyingine zitafuata msukuma relaxx .. kweli ulipania kumuona ma mtumishi!Eti picha ya Mama Mchungaji imenipita. We ulisikia wapi? Sikubali. Nitapambana mpaka niipate wallahi!
Dada wa mimi unakera! Kutufunga leo ndio imekuwa nongwa!!



Nani apitwe thubutuuuu!! Mungu yu upande wangu sikuzote!!🤸🤸Eti picha ya Mama Mchungaji imenipita. We ulisikia wapi? Sikubali. Nitapambana mpaka niipate wallahi!
Nilikuwa nataka kuja kwako kumbe hata ww imekupita?![]()
Nani apitwe thubutuuuu!! Mungu yu upande wangu sikuzote!! My God is living!🤸🤣✌️🤸Eti picha ya Mama Mchungaji imenipita. We ulisikia wapi? Sikubali. Nitapambana mpaka niipate wallahi!
Nilikuwa nataka kuja kwako kumbe hata ww imekupita?![]()
Sema nawe PM yako imefungwa dah!Nani apitwe thubutuuuu!! Mungu yu upande wangu sikuzote!! My God is living!![]()
Sema nawe PM yako imefungwa dah!
I give up kumwona Mama Mchungaji ...
Sema nawe PM yako imefungwa dah!
I give up kumwona Mama Mchungaji ...
Haina neno Boss Lady. Bila shaka Mama Mchungaji ataselfika tena siku za karibuni.Hahahaaa... Kasema Lilikua jaribio I hope more fotos will come.... Ulizingua siku ya mechi ya mnyama na mwananchi nilikuita sana pm !

Amina Amina!Haina neno Boss Lady. Bila shaka Mama Mchungaji ataselfika tena siku za karibuni.
Mungu Atuweke hai tu. Mengine yote madogo mpendwa![]()