Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Mwenyewe dada nimeshangaa sana!Yaani wanaume sijui mnatuchukuliaje wanawake aise
Mwenyewe dada nimeshangaa sana!Yaani wanaume sijui mnatuchukuliaje wanawake aise
Pole sana mana naamini huli mzigo masiku hayaNaaaam
Good morningView attachment 1226509
Sijaongea na wewe mwanaume kudandia maneno vipi au +sasa unalilia nywele mkuu kwanza ni chafu nimeonapo ukoko kabisa kichwani
Wewe hupigwi busu ukalegea.
Wewe unajua kapewa shs ngapi huyo??Hahaha sasa hyo picha hapo kapiga mwanaume au mwanamke?
Anapata tabu sana na anavyo vitetea vinamsuta mwenyewe.Hahaha sasa hyo picha hapo kapiga mwanaume au mwanamke?
Marhaba mwanafunzi hujambo ?Shokamoo mwalimu madam cute
Yani daahMwenyewe dada nimeshangaa sana!
Mie huwa nawaangalia tuu!Yani daah
Nyie ni maua mkichanua sie tunaburudikaYani daah
Wewe unajua kapewa shs ngapi huyo??
Kumbe ndiyo maana huwa hauongei chochote?? Basi mie nikajua unakaa kimya sababu huwa unayasapoti haya mafurushi!!Mie huwa nawaangalia tuu!

lakini pia hata kukaa kimya nako ni busara usiwe mbishi kama dada yako hapa
maana kubishana na mafurushi nako yataka moyo mkubwa kama wa nyangumiWewe unajua kapewa shs ngapi huyo??
Nyie ni maua mkichanua sie tunaburudika
Uwe unasikiliza maneno ya wanaume wenzio mitaani na mitandaoni ndiyo utajua kama sisi ni maua au miibaNyie ni maua mkichanua sie tunaburudika
Siyo ya kawaida, hiyo ni tafsiri ya kwamba mwanamke ni chombo cha starehe kwa mwanaume.Halafu mbona ni yakawaida tu hyo