Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,379
Wakipaka mafuta shida. Wakiacha napo mtasema brother kapauka. Whati du yu wanti?Kiukweli kabisa, isingekuwa huo mng'ao (ambao nimeashum ni mafuta amepaka) ningemuelewa sana


Wakipaka mafuta shida. Wakiacha napo mtasema brother kapauka. Whati du yu wanti?Kiukweli kabisa, isingekuwa huo mng'ao (ambao nimeashum ni mafuta amepaka) ningemuelewa sana


Kwa lipi? Hilo futa au?



kuna mwana jf atakuja hapa aseme hyo ni id nyingine ya smartKiukweli kabisa, isingekuwa huo mng'ao (ambao nimeashum ni mafuta amepaka) ningemuelewa sana
Huyu mmoja ana viguu vyembamba kama fitowazamini kidgoView attachment 1227044
Umeitoa Telegram group naliweka kapuniWaweke kama hii basi...30k kwa yoyote atakae karibia hiiView attachment 1227045

Amna nakuwaga sio mimi hii ID tunatumia wawili
Wakipaka mafuta shida. Wakiacha napo mtasema brother kapauka. Whati du yu wanti?![]()


kila mtu ana preferences zake bro hata ninyi pia hamna uniformity linapokuja suala la wanawake30K???Waweke kama hii basi...30k kwa yoyote atakae karibia hiiView attachment 1227045
30K???
Yaani wanaume sijui mnatuchukuliaje wanawake aiseYaap
Kidogo nipae aisee
Achani kuung stori za uongo hayo sio mablack kama mnavosema hizo ni nywele zangu original zaidi ya shampoo na mafuta ya kuza sijawahi paka hayo mablack ushahidi upo wanaoniona kila siku wanajua kichwa nikisafi sana zaidi ya sana KLBYKiukweli kabisa, isingekuwa huo mng'ao (ambao nimeashum ni mafuta amepaka) ningemuelewa sana
KLBY sio black hiyo ni nywele yangu originalhapo kuna kuza tu nimepaka labda sababu ni safi kama ningepaka black isingeonekana io alama, sijwah paka mablack uliza usiropoke au nikuoneshe picha za nywele zangu?Wanaume wanaopaka hayo madude sijui wanakwama wapi aseeee! !Gentleman kama huyo daahh! !
Cc Smart911
Hatari sana sheikh, hii baridi ni chonganishi sana. Unaweza jikuta umeomba hifadhi kwa mtu ambaye hukuwahi fikiria kabisa.


Yaani wanaume sijui mnatuchukuliaje wanawake aise
Noma saana mzeeHatari sana sheikh, hii baridi ni chonganishi sana. Unaweza jikuta umeomba hifadhi kwa mtu ambaye hukuwahi fikiria kabisa.
Kijo Bisimba una kazi kubwa![]()
Mimi nimesema mafuta, hayo manini unayajua weweAchani kuung stori za uongo hayo sio mablack kama mnavosema hizo ni nywele zangu original zaidi ya shampoo na mafuta ya kuza sijawahi paka hayo mablack ushahidi upo wanaoniona kila siku wanajua kichwa nikisafi sana zaidi ya sana KLBY
Ukweli huwa unawauma siyo??