Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kiukweli kabisa, isingekuwa huo mng'ao (ambao nimeashum ni mafuta amepaka) ningemuelewa sana
Achani kuung stori za uongo hayo sio mablack kama mnavosema hizo ni nywele zangu original zaidi ya shampoo na mafuta ya kuza sijawahi paka hayo mablack ushahidi upo wanaoniona kila siku wanajua kichwa nikisafi sana zaidi ya sana KLBY
 
Wanaume wanaopaka hayo madude sijui wanakwama wapi aseeee! !Gentleman kama huyo daahh! !


Cc Smart911
KLBY sio black hiyo ni nywele yangu originalhapo kuna kuza tu nimepaka labda sababu ni safi kama ningepaka black isingeonekana io alama, sijwah paka mablack uliza usiropoke au nikuoneshe picha za nywele zangu?
 
mahondaw @smart991 Khantwe kama kitu hujui uliza usiongee ili uonekane unajua mambo iyo sio black KLBY nywele zangu ndio zilivyo waulize walioniona live ,Umenikera sana jifunze kubalance #-..
IMG_20191009_000545_673.jpeg
 
Achani kuung stori za uongo hayo sio mablack kama mnavosema hizo ni nywele zangu original zaidi ya shampoo na mafuta ya kuza sijawahi paka hayo mablack ushahidi upo wanaoniona kila siku wanajua kichwa nikisafi sana zaidi ya sana KLBY
Mimi nimesema mafuta, hayo manini unayajua wewe
 
Back
Top Bottom