Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ya kawaida sana..picha za beach watu wako picnic na maeneo yanayoendana na hayo wanapiga sana, picha ya kawaida mnoo
Siyo ya kawaida, hiyo ni tafsiri ya kwamba mwanamke ni chombo cha starehe kwa mwanaume.
Vipii kuhusu makabila yanayo acha maziwa wazi?
 
Kawaida tu mbona atakua kapendeza tu...tena chini hapo afunge vimtandio vile vya kichokozi basi hapo ni burudani mujarabu kabisa
Hivii, usingizi wako, daktari wako, kipenzi chako, laazizi wako na mama watoto wako akapost hivyo unavyoshauri, halafu mwanaume mmoja wa mtandaoni akamtumia hiyo 30k, how would you feel about it mkuu Hazard.?
 
Kumbe ndiyo maana huwa hauongei chochote?? Basi mie nikajua unakaa kimya sababu huwa unayasapoti haya mafurushi!!lakini pia hata kukaa kimya nako ni busara usiwe mbishi kama dada yako hapamaana kubishana na mafurushi nako yataka moyo mkubwa kama wa nyangumi
Kabisaa
Mimi huwa siwezi kubishana nao, seriously mtu aweke picha nusu utupu sababu ya 30thao?!
Ni lini wataelewa utu wa mtu hauthaminishwi na fedha!! Ndo maana nawaangaliaga tuu mimi jamani!
 
IMG-20191009-WA0005.jpeg
 
Mbona wanaweka hata bure...kikubwa ni mood ya mtu tu na umbo lake liruhusu
Kabisaa
Mimi huwa siwezi kubishana nao, seriously mtu aweke picha nusu utupu sababu ya 30thao?!
Ni lini wataelewa utu wa mtu hauthaminishwi na fedha!! Ndo maana nawaangaliaga tuu mimi jamani!
 
Back
Top Bottom