Nimeomba na nimelia sana baada ya kuona wapendwa wetu waliobaki nyuma.
Nimeomba kwa uchungu mno,
Mungu ameachilia furaha,,sasa ni zamu yetu..
Hakuna atakayeishia njiani tena..
Maombi haya nayaachilia kwako pia Kaka mkubwa.
Mungu akaipe furaha familia yenu..akaondoe huzuni na kilio na mwaka huu ukawe tofauti kwenu,hakuna atakayabaki njiani tena