Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Umeniweka weweee.. 😂😂😂😂
Umeniweka weweee.. 😂😂😂😂
😬😬😬😬 😁😁😁
Ina maana nyie mnaitiwa kuja kula hela zetu muda wote mnadengua tu eeh😀
Braza ina maana mtoto hajaj mpaka sahizi kula hela zetu tu😅 hayupo seriazUmeniweka weweee.. 😂😂😂😂
Bora leo umetukumbuka na Neno jamani
Tunazionea hurumaIna maana nyie mnaitiwa kuja kula hela zetu muda wote mnadengua tu eeh![]()


Karma ntoto ndogo tu yule😅 kale kajicho leo kangelegea vibaya vibaya! Smirn off 7 tu zinatosha kwa mazishi😅
Karma ntoto ndogo tu yulekale kajicho leo kangelegea vibaya vibaya! Smirn off 7 tu zinatosha kwa mazishi
![]()








Hivyo vizito kwangu ndo kama juice ya embe
That's how our lives is nowadays!!
Kikubwa ilikuwa wewe ufike ili utwishwe chupa la henny😅 uhangaike nalo
Ile kitu situmii...Na kwa kuwa mimi siyo mtu wa komoa komoa..ningejinywea vitu vyangu tu.Kikubwa ilikuwa wewe ufike ili utwishwe chupa la hennyuhangaike nalo




Kubeba hairuhusiwi inatakiwa ishambuliwe😅 haraka iwezekanavyo home urudi na ulevi tu kichwaniIle kitu situmii...Na kwa kuwa mimi siyo mtu wa komoa komoa..ningejinywea vitu vyangu tu.
Au ningeibeba Henny ikapendezeshe Fridge
Sent using Jamii Forums mobile app
Kubeba hairuhusiwi inatakiwa ishambuliweharaka iwezekanavyo home urudi na ulevi tu kichwani





