Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Ni sawa.. ila anaweza kutokea mmoja kati yetu...kuwa na subiraeeeh! au unaonaje![]()

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa.. ila anaweza kutokea mmoja kati yetu...kuwa na subiraeeeh! au unaonaje![]()

Nasubiri kidogo tu, niondoke na ex wangu
Picha tena 😁😁
Dada Lizzy
Njoo swad kuna msosi flani hivi amazing mtamu hadi kisogoni![]()




Kwamba mtamu hadi kisogoni?Kuku Kuku tena HM???Njoo kuku kuku hapa wanapiga bluzi moja matata sanaaaa![]()

mtamu hadi nimejing'ata
hapa hapa unatokea mlango huu unaingia huu..
hapa wanagonga ngoma, inaitwa another day in paradise.. asee wakubwa wanafaidi 😉😉😉
Wacha Bwana...hapa hapa unatokea mlango huu unaingia huu..

Thanks T!🤗Dada Lizzy
Wewe ndio unautendea haki huu uzi...
Huku ndio ku selfika haswa..
Wengine wengi humu longolongo nyingi, hatuoni hata picha.....
Nyie mnazingua 😬😬 ningewachapa hennesy hadi mtembelee magoti tena kama huyo Karma