financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,366
Why not me? Nimefungua milango na madirisha tu hapa😂Hata wewe
Why not me? Nimefungua milango na madirisha tu hapa😂Hata wewe
You are more than special girl.Why not me? Nimefungua milango na madirisha tu hapa![]()
What makes me so special?, nna mbususu ya gold? no ni nyama za kawaida tu kama za wengine, aah acha hizo mkuu.🤔You are more than special girl.
unajitanda tu kama unaenda zako kwenye 40 ya mama AshaWajuvi hiki kinafaa kushona kweli???View attachment 2058594
mbwembwe sio nzuri zinatudondosha Mate tunaishia pata dhambi ya kutamani ujueYenye
Yenye Mbwembwe ma mtumishi!
40 ya mama Asha hahah!🤣🤣🤣🤣 Yani bado nawaza kushona au kuvaa make ni kile kigumuu kizito fulani sio mtelezo! Ni pisi 3.unajitanda tu kama unaenda zako kwenye 40 ya mama Asha
Duuuh, Kuna nyama Fulani za nyongeza unazo wewe. You are who you are, just special.What makes me so special?, nna mbususu ya gold? no ni nyama za kawaida tu kama za wengine, aah acha hizo mkuu.![]()
Hahahaaa..ndo nazipenda nikivaa hadi waniulize fundi na mshono umeutoa wapi 🤣🤣😜!mbwembwe sio nzuri zinatudondosha Mate tunaishia pata dhambi ya kutamani ujue
ujue kushauri kabla hujaona umbo husika itakua urongo jaman,kuna maumbo/kimo hayafai/havifai hata kwa bahati mbaya kushona baadhi ya mishono.
😁😁Wananijua humu sampo wanazo nishatuma fotos zakutosha!!ujue kushauri kabla hujaona umbo husika itakua urongo jaman,kuna maumbo/kimo hayafai/havifai hata kwa bahati mbaya kushona baadhi ya mishono.
Niambie kaumbo kako nikupe code zakushona hiyo kitu usahau kwenda dukani kununua nguo tena kwa namna watavyokua wanakusifia.
hicho ukishona nguo ukiisimamisha inasimama yenyewe maana material ni heavy Mc40 ya mama Asha hahah!Yani bado nawaza kushona au kuvaa make ni kile kigumuu kizito fulani sio mtelezo! Ni pisi 3.


Utamu kwenye kuifua buanaaakwahiyo mimi natengwa kisa nilipitwa Nipambane na ma imagination yangu si etWananijua humu sampo wanazo nishatuma fotos zakutosha!!
Wapendwa...Anyone to describe me pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!🤷🤷ujue kushauri kabla hujaona umbo husika itakua urongo jaman,kuna maumbo/kimo hayafai/havifai hata kwa bahati mbaya kushona baadhi ya mishono.
Niambie kaumbo kako nikupe code zakushona hiyo kitu usahau kwenda dukani kununua nguo tena kwa namna watavyokua wanakusifia.
Hahahaaa...Mimi kama mimi Nimestaafu kuselfika...!!kwahiyo mimi natengwa kisa nilipitwa Nipambane na ma imagination yangu si et
Boss lady, kwa hiki kitenge; nafikiri kitapendezea ukishona maxi dress. Ngoja tutafute style amazing ya mikono.Yenye
Yenye Mbwembwe ma mtumishi!
40 ya mama Asha hahah!Yani bado nawaza kushona au kuvaa make ni kile kigumuu kizito fulani sio mtelezo! Ni pisi 3.
Nyama za nyongeza tena, kwahiyo mbususu yangu imeelemewa na minyama?😂😂Duuuh, Kuna nyama Fulani za nyongeza unazo wewe. You are who you are, just special.
Sawa ma mtumishi! Nisaidie mshono wa heshima mzuri utaobarikiwa na kuona utanifaa na kunipendeza !Boss lady, kwa hiki kitenge; nafikiri kitapendezea ukishona maxi dress. Ngoja tutafute style amazing ya mikono.
Yeah material heavy hata ukikishika unakisikia kilivojaa!Duanas ina material ya cotton; kikikaa mwilini kinatulia. Sio kama Java; yenyewe ina hekaheka za kutosha