Selfika na JF: Snap it. Show it

Daah wenzetu vyakula vyao visafi hadi raha na vimebandikwa stickers kabisa ila huku kwetu sasa [emoji2297][emoji2297]
Huku kwetu ndizi zikatoke zimekula vumbi kwenye kenta za Mwakaleli,hadi kufika mjini ziko fiii[emoji23][emoji23][emoji23].

Huko waameweka hadi stika bei yake sasa utakuta mshahara wangu wa miezi mitatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…