😂😂😂
Wala sio mzembe, ni maamuzi tu. Kama umejiwekea wewe kilevi no wala hata usiziguse ila kama hunywi sababu ya uoga basi kuna sweet wine kibao zenye Alc% ndogo zinaweza kukufaa na ukaenjoy.
Hahahahah hilo li smirnoff sio chungu, kuna Desperado pia sio chungu pamoja na savannah! Kama ushakunywa savanna desperado ina same taste! Kuna ile flynig fish ya TBL pia sio chungu ile nayo ina ladha ya limao na sukari
Hahahaha mie mwenyewe nilipiga mbili tu juzi kati nikaona weee hii ni nini naweka kwa mouth just to find out ni 7% niliwacha ujinga nikawasha chombo na kusepa
Wala sio mzembe, ni maamuzi tu. Kama umejiwekea wewe kilevi no wala hata usiziguse ila kama hunywi sababu ya uoga basi kuna sweet wine kibao zenye Alc% ndogo zinaweza kukufaa na ukaenjoy.
Nilianza na Drosty Hof nikaenda small planet pale nikahamia humo napoozea na robertson na zile amapiano na wana mara mzigo umekata 😂! Nikasema nijaladie na serengeti lite.
Nimetoka pale niende TIPS weee niliishia parking nashukuru tu sikuwa naendesha siku ile. Nikamwaga chenchi hata sikujua ilikuwaje. Nimekuja amka kesho saa 4 sijielewi nilifikaje geto ila chenchi zilinisaidia.