moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,152
- 770,272
Saint AnneSafi![]()

Saint AnneSafi![]()

Kunywa Azuma, NimrCuff na chai ya tangawizi + lemon!Mlitumia dawa gani kupona jamani kuamkia Leo sijalala usiku joto Kali mwilini mafua makali kichwa kinauma na joints zote msaada tafadhali




hebu mommah nitajie jina la kila chupa, ndo nimeona dompo kwa mara ya kwanza. 


AmoxiliniMlitumia dawa gani kupona jamani kuamkia Leo sijalala usiku joto Kali mwilini mafua makali kichwa kinauma na joints zote msaada tafadhali
Hello ustadhSaint Anne![]()

Mlitumia dawa gani kupona jamani kuamkia Leo sijalala usiku joto Kali mwilini mafua makali kichwa kinauma na joints zote msaada tafadhali






Asante lizzyKunywa Azuma, NimrCuff na chai ya tangawizi + lemon!
Pole!
Dah nlikua na beza hii kitu nilikua naona wanaoumwa wachumba tu dah
Imeupiga mwingi
Eti eeeh!Dah nlikua na beza hii kitu nilikua naona wanaoumwa wachumba tu dah
Picha tu isikuchanganyeHandsome
Nasubiri yakoSafi![]()
Lazima tuutendee haki uzi wetu pendwa.Umeacha alama jf tutakujenga sanamu mkuu
Ipo juu hapoNasubiri yako