Mimi nina pua ya kinyakyusa typical mkuu tena kama zile za wanaume maana wanaume wengi wa kinyakyusa pua zao zinafanana. Na ukizingatia nimefanana na mzee copyright.
Ni nani anayeweza kusema amemaliza mwaka salama kwa nguvu zake yeye mwenyewe
Nakuuliza we baba nakuuliza we mama nawauliza vijana tujiulizeni sisi sote
Ni wengi walitamani kuona siku hii hawakuiona wamekufa kwa mapenzi ya Mungu🥲