Selfika na JF: Snap it. Show it

Ali kukomesha kabisa. Khaaaah
 
Ngoja aje kesho akulime quiz ndio utamuelewa
Jan mchan nimepishan na lect af moyo ukaniwazia ni huyo, iv unajua nilitoka mbio? Tulikua wa3 tunapiga story yaan wenzangu wakawa wanacheka,

Narud palee naulizwa wee ulikua unakimbia nn, sina jibu nipo tyuuh,
wenzangu wananambiaje yaan huna hata aman ujanja wote huu,

Nilivotulia sasa wacha nicheke peke angu,
nkajisemea mwenyew ntakuja kufa kwa pressure ukute hata nayemkimbia Co yeye wala hata hanijui, yaan kuhisi kubaya sana.


Afu nkasema ntakuja kukusimulia wee hapo, nlishasahau hapa ndo umenikumbusha, yaan unavozid kunipa hofu utaniua bhana cc lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…