Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
acha hizo kamuonyeshe mji mwenzio 🤣 🤣 🤣😂😂😂 kwani itakuwa mbaya nikikutajia tu majina ya hivyo viwanja? Na nikupe na location zake 🏃🏃
acha hizo kamuonyeshe mji mwenzio 🤣 🤣 🤣😂😂😂 kwani itakuwa mbaya nikikutajia tu majina ya hivyo viwanja? Na nikupe na location zake 🏃🏃
@Mahondow
Mwambie asubiri ijumaaacha hizo kamuonyeshe mji mwenzio 🤣 🤣 🤣
Sijawahi onaahh..Huu uzi unatembea balaa
Ndio maana nikasema tutarudi katika vitabu. Hizi story zingine ni fictions tu, kabisa unaamini ulitokana na nyani? Kama ni ivo kwanin Dinosaurs wapotee baada ya evolution na muda huo huo nyani walio evolve na kuleta binadamu bado hao nyani wapo?Viumbe kama Dinosaurs ambao walikuwepo kabla ya viumbe wengine waliumbwa na nani? Kila mtu anaamini anachoona ni sawa kwake. Naamini katika evolution.
Namsubiri Mr. Right 😂😂😂🏃Dah... Unasubiri nini sasa Jamani
Ndiooo 😂😂😂🏃🏃 tena kachomekea safii mwanafunzi hataki shida na walimu wa zamuMwanafunzi naona upo shule na uniform kabisa![]()
Unaweza linganisha nyani na Dinosaurs? Soma Science ujue kilichowamaliza na mpaka sasa unaweza kuona mabaki yao. Walivyokuwa wakubwa! Ilichukua tena miaka millions dunia kupata mwanga kuweza accomodate viumbe vingine. Anyway kila mtu na mawazo yake. Siwezi kukubadilisha.Ndio maana nikasema tutarudi katika vitabu. Hizi story zingine ni fictions tu, kabisa unaamini ulitokana na nyani? Kama ni ivo kwanin Dinosaurs wapotee baada ya evolution na muda huo huo nyani walio evolve na kuleta binadamu bado hao nyani wapo?
Asante kwa maombi 🙏Nakuombea.. Na pengine ni huyu anaye type sasa... You never know about life![]()
Sijui hapa anaweza kuwa yupi... Kwa makisio tu lakiniView attachment 1225648
Sijawahi onaahh..
Watu wa ChitChat si wa nchi hii!??
the way you've posed em hands...inawezekana, but y umehisi hivyo?
Ndioootena kachomekea safii mwanafunzi hataki shida na walimu wa zamu





Hivi hujafanikiwa tu kucrop hiyo sura yako ikafit kwenye screen utupostie? Au ndo imezidi upana?
Mwanafunzi ana nidhamu