Ni kweli technique nzuri ni kutanguliza mguu wa kushoto then ufanye kama unakimbia hivi utasimama tu mwenyewe. Ila ukiruka gari ikiwa speed sana nawe lazima utakimbia kwa speed sana na utachelewa kusimama.
Mimi nashukuru Mungu sijawahi dondoka ila niliwahi ruka gari ikiwa speed sana. Kwahiyo nikajikuta nakimbia speed ya subaru kwa muda mrefu bila Breki kama vile nateremka mlima ndiyo nikaja nikapata balance nikasimama.
uwe chibonge ili ugundue nn? Huyo bibi mda wote wa kujipimia anao? Si atakinai? Au tumbo linafunika mapaja bibi inabidi mnara afuate kwa nyuma sasa si utumwa huu?
Sie tulikuja na bus...then private imetuacha Makambako so..sijui safari nzima inaweza kuwa bei gani. Labda nikuulizie.....ila kabla ya hapo wenyeji kina Heaven SentKarmaSaint Anne na billdrago might be able to help!
Wakati mwingine inatokea tu pale ambapo unataka ushushwe sehemu ambayo gari haitakiwi kushusha abiria. Mimi kuna siku niliwahi waomba Rungwe wanishushe Eso badala ya kwenda hadi Stendi Kuu wakaniambia pale hawaruhusiwi kushusha labda nikae mlangoni then watapunguza tu speed kidogo ili nishuke.
Na kweli walivyofika wakapunguza speed huyo nikaruka zangu wakatambaa uzuri sikuwa na mizigo nilikuwa na begi moja tu la mgongoni ndiyo maana hata nao walikubali vinginevyo ukiwa na mizigo hawakubali kukushusha sehemu kama hiyo maana hekaheka za kushusha mizigo yako inabidi gari isimame kabisa.
Sasa kwenye hizi daladala za mjini ndiyo kabisa imekuwa kama mazoea abiria kuomba kushushwa sehemu zisizoruhusiwa tena unaweza kuta ndiyo wengi kuliko hata wanaoshukia kwenye vituo rasmi. Watu tumeruka hadi kwenye treni ile ya mjini Gerezani-Pugu ambayo kuteleza na kukanyagwa mguu ni dakika sifuri sembuse magari.
Ukitaka kumaliza show within 30seconds, hizi ndio pressure points za kumaliza shughuli. Hakikisha your blow is fatal, piga pigo kwa speed ya hatari na kwa nguvu zako zote. Tumia element of surprise, Opponent wako asijue kilichopo akili mwako.View attachment 2050231
kurlzawa
Tayari nimesogea hapa.. ndio dawa yao kwa sie wenye maumbo ya kitoto una wahi mapema kipindi mabaunsa hawajatoka kwao kulala View attachment 2050158