Good morningGood morning from #mbeya 🌄
View attachment 2049305
☺☺☺☺Ila huyu mwanao wa kiume nimempenda bure![]()
Awesome.Nna kesi hapa nimeambiwa ninunue story books za bed time. Hii kesi ntamuuzia aunty wake Paula Paul , eneo lake hilo.
70? LolMimi ninazo 951 toka uzi umeanza,nina za Mzigua 6,Cadey 5,Anne,3,Lizzy 20,Shunie 18 ,Paula Paul 70,Depal 11 na kuna mmoja kila nikitaka kuzisave zinapotea sijui mchawi.
Mungu ni mwema Niko gudooo rafiki! Asante sana venye niko na njaa hapa doh!!😋! U hali gani weye??umeamkaje rafiki,karibu tupate mchemsho
Baada ya dominika
Jamani jamani
Ujiandae na.....Mnipe tu kwa kweli nitashukuru![]()
Ofcourse cards is one of my favourite games. Aahh dogo anatisha sana yaani hapo tutaendana kabisa.Ujiandae na.....
"Can we play cards?"
"What games do you have on your phone?"
"What's your password?"
"Can I watch videos on YouTube?"
Kama majibu ni ndio, ndio, ndio na NDIO basi unamteka kirahisi kabisa![]()