Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

#PrayerMountain#
#MaombiNiAkiba#

Tusisahau kusali wapendwa, especially wakati ambapo kuna amani na shwari kuu kwenye maisha yetu. Wakati wetu wa tabu na dhiki; hata nguvu za kufungua mdomo na kuomba wengi wetu huwa tunakosa. Akiba yetu ya maombi tuliyojiwekea, inatusaidia tunapokuwa dhaifu na kuishiwa nguvu. Methali 24:10 "Ukizimia siku ya taabu, nguvu zako ni chache"

WAKEPRAY SLAY.

Saint Anne niendelee na slaying time ama nisiendelee?View attachment 2032935View attachment 2032936View attachment 2032937View attachment 2032938
Umeandika Maombi ya Akiba nikamkumbuka Rafiki yangu mmoja.. Mungu azidi kumuweka..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa? Unataka baba P aje anichambe hapa?
Utaharibu interview...hiyo kesi bado DPP hajaonyesha nia ya kutokuendelea nayo. Anaweza kuifufua wakati wowote.

Wanao hao hapo

IMG_20211204_204629_291.jpg
 
Nakuongezea na nyingine; utazitafuta

1. Ni wewe-Mathias Walichupa ft Godfrey Steven
2. Shukrani-Paul Clement
3. Nothing is too hard for you-The Gratitude ft Judikay
4. More than Gold-Judikay ft Mercy Chinwo
5. Everything (Amen)-Timi Dakolo
6. Rafiki Mwema-Chandelier De Gloire
7. Neno lako-Godwill Babette
8. Kiti Ofandi-Mike Kalambay.
9. Goodnessof God- Bethel Music
10. You still love me-Koryn Hawthorne
SaintAnne Naomba nyimbo nzuri za kusifu na kuabudu!
 
Nakuongezea na nyingine; utazitafuta

1. Ni wewe-Mathias Walichupa ft Godfrey Steven
2. Shukrani-Paul Clement
3. Nothing is too hard for you-The Gratitude ft Judikay
4. More than Gold-Judikay ft Mercy Chinwo
5. Everything (Amen)-Timi Dakolo
6. Rafiki Mwema-Chandelier De Gloire
7. Neno lako-Godwill Babette
8. Kiti Ofandi-Mike Kalambay.
9. Goodnessof God- Bethel Music
10. You still love me-Koryn Hawthorne
Asante sana Kesho nitazitafuta nashukuru za kusikiliza kwa leo wamenipatia hapo juu! Ubarikiwe mamy!
 
Back
Top Bottom