Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Umeandika Maombi ya Akiba nikamkumbuka Rafiki yangu mmoja.. Mungu azidi kumuweka..#PrayerMountain#
#MaombiNiAkiba#
Tusisahau kusali wapendwa, especially wakati ambapo kuna amani na shwari kuu kwenye maisha yetu. Wakati wetu wa tabu na dhiki; hata nguvu za kufungua mdomo na kuomba wengi wetu huwa tunakosa. Akiba yetu ya maombi tuliyojiwekea, inatusaidia tunapokuwa dhaifu na kuishiwa nguvu. Methali 24:10 "Ukizimia siku ya taabu, nguvu zako ni chache"
WAKEPRAY
SLAY.
Saint Anne niendelee na slaying time ama nisiendelee?View attachment 2032935View attachment 2032936View attachment 2032937View attachment 2032938
Sent using Jamii Forums mobile app
PRAY 




