Kwani Mtakatifu alitaka Jack Palladino aache Vyombo kwa siku moja? Hata Yesu Mwenyewe alifanya kazi ya kuhubiri kwa miaka 3, Yeye mwaka tu alitaka kuona matokeo Chanya?
Kwani Mtakatifu alitaka Jack Palladino aache Vyombo kwa siku moja? Hata Yesu Mwenyewe alifanya kazi ya kuhubiri kwa miaka 3, Yeye mwaka tu alitaka kuona matokeo Chanya?
Hahaa na wewe si ndiyo wale mnaowapenda wachezaji kutokana na muonekano pia. Najua hata akishuka chati bado utaendelea kumkubali sababu tu ya muonekano wake.
Hahaa na wewe si ndiyo wale mnaowapenda wachezaji kutokana na muonekano pia. Najua hata akishuka chati bado utaendelea kumkubali sababu tu ya muonekano wake.