jaman bas kule kwetu yapo mengi kwenye ile miti ambayo inakua na utovu fulan wekundu, bas yanatanda mti mzima, khaaaaah wee nlikua nasikia yanaliwa, si kule kwetu hatuli haya mawungu.
Khaaaah watu wana moyo kwa kweli, mie hata kuona naogopa.
Mwenyewe nimekuta hotel fulani Wachina wame order, ndiyo nikaomba kwa watu wa jikoni nikaone.
Kweli kuna watu hawajui Kula vizuri, yaani unaacha nyama zote za Kuku, Mbuzi, Ng'ombe, Kondoo, Kiti, Bata alafu unakwenda kubugia midudu ya ajabu vile 😜🙆
jaman bas kule kwetu yapo mengi kwenye ile miti ambayo inakua na utovu fulan wekundu, bas yanatanda mti mzima, khaaaaah wee nlikua nasikia yanaliwa, si kule kwetu hatuli haya mawungu.
Khaaaah watu wana moyo kwa kweli, mie hata kuona naogopa.