Selfika na JF: Snap it. Show it


Ntuzu hatueleweki tena? Kivipi tena jamani? Kigezo cha rangi unakikidhi na zaidi...yaani umekamilika kila idara. Labda kwa vile tu sikuweko huko vinginevyo ungekuwa unapalilia pamba Nyakabindi sasa hivi
 
Ntuzu hatueleweki tena? Kivipi tena jamani? Kigezo cha rangi unakikidhi na zaidi...yaani umekamilika kila idara. Labda kwa vile tu sikuweko huko vinginevyo ungekuwa unapalilia pamba Nyakabindi sasa hivi
He he he....Wacha Bwana..
Inabidi ifanyike namna wakati mwingine uwepo aisee...Wazee wangu wapelekewe zile ng'ombe za Usukumani jamani..

Ikishindikana sana muagize ELY asimamie hilo zoezi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…