reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,304
Mama Mchungaji siyo kabisa..Basi vutasubira kidogo mzigo utashuka muda si mrefu maana hapa naona mama mchungaji anakuwahi

Basi vutasubira kidogo mzigo utashuka muda si mrefu maana hapa naona mama mchungaji anakuwahi





Yale ya siku ileMambo gani hayo dada kipenzi hebu nikumbushe tena![]()
..Ni kwamba umesahau AU vyombo vimekolea?Nshachelewa loohh!
Eehh alitoa ofa asubuhi na warembo Washatupia zakutosha!!jamani
Hata mimi sielewi wamewahi vipi

Loohh!usinisahau miye wa Tigo ...!kakaFungua mlango Nkamu nashusha huko faster
Mimi bwana nilfanyaga diet sirudii tena...kwa sasa mwili waja taratibu..maana mwanangu akanambia mama usikonde tena utanifkia Mimi!!umekua katoto!!!




Mfyuuu!!zakooo!ntakupigaa Anne!Na hizi za leo wamezipata tena
Majobless tunainuana![]()
Masharti kama sindano ya uvikoo!Njoo mwenyewe![]()
Dah atakaporusha tu za airtel mjue nimechukua mimiMfyuuu!!zakooo!ntakupigaa Anne!

Dah
Unaweka kigoda na wakati vocha 4 zilishapita![]()


kamati iko vzr,nshashindwa miye!!mpk mda huu!!ngoja tu nifight na hali yanguPolee yani leo ndo najua kua niwewe maana nilikua hata sikuelewihapana nlipoteza passwod na email mmesahau nkajaribu kuwasiliana na mtu wa jf majibu alonipa sina hamu.. Sijui alikua ma stress that day!!
nkafungua ingine

Wee!napataje kwa mfano watu wako fastaa...kaka balaa!!mi nshafeli!ntakweka tu self lakini vocha baasi tena!Vocha nim
ekuwekea hapa na nikakutag hujapata tuu??




Nyie tu hamjazichukua haraka.kamati iko vzr,nshashindwa miye!!mpk mda huu!!ngoja tu nifight na hali yangu

Sisi maslo lena !Dada
