Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Naambiwa Mzigo haupo..Ikiwa na maana kwamba umeshatumika..Waiiii
Si tulikubaliana uende kipande ile Boss?

Sent using Jamii Forums mobile app
Naambiwa Mzigo haupo..Ikiwa na maana kwamba umeshatumika..Waiiii

Msiingize kwanza nyie
Takiii nimeona mrembo pembeni yako hapoMhhh babe
Hapana.Unaonaje kabla mwaka haujaisha mama mtumishi akajaribu pombe kidogo?
He he he....Watu wa Chuga wako na Balaa zito.Kweli eti
Tena baridiiii si unajua tena sisi watu wa chuga
Image Ata Java malaya kibaoSanaa, wapuuzi wanaangalia kwa muonekano wa nje
Fungua mlango Nkamu nashusha huko fasterNaambiwa Mzigo haupo..Ikiwa na maana kwamba umeshatumika..Waiiii
Si tulikubaliana uende kipande ile Boss?
Sent using Jamii Forums mobile app
sema malaya wa bambalaga huwa wazuri sana wale wa mapema mapemaa, night kali huwa wanapotea.. ndio maana napenda mwanzaa asee 😂😂Image Ata Java malaya kibao
Mhhh una wivu babeTakiii nimeona mrembo pembeni yako hapo
Tulikubaliana ili hili liishe ni lazima utoe ile michoro kwenye picha.Hapana.
Tazama maandiko yanasema "Pia msilewe divai, kwa sababu huo ni upotovu, bali mjazwe Roho"
Nimekumiss zaidi mdogo wangu Kipenzi...Nimekumiss dada mkubwa![]()

Mimi sikupata maana sikuwa na line zangu muda huo ila nilizitupia kwenye group la majobless wenzangu.
Walipita nazo zote,,
Zaidi sana wa TTCL wakalalamikwa kwanini wametengwa.
The rest ilikuwa furaha,walishukuru mno..kama yule aliyebeba za halotel zote.




!!!we Dada vocha za huku wapelekaje kwa watu!!Ntume bodaboda!!?Karibu![]()
Na hizi za leo wamezipata tena!!!we Dada vocha za huku wapelekaje kwa watu!!




Ndugu zako wa rangi ya mboga mboga watani decodeTulikubaliana ili hili liishe ni lazima utoe ile michoro kwenye picha.
Ndo mmefika ngoja niweke kigoda loohh!



