Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Acha tu...Vijana wanatuwahi vibaya...Sisi maslo lena !Dada![]()
Tufanye mkakati gani Dada nasi tuambulie hata moja jamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu...Vijana wanatuwahi vibaya...Sisi maslo lena !Dada![]()

Ahsante sana utakua umenisaidia sanaa!Ngoja nikutumie bobo
EverglowTunao ona wivu wapi tunacomment??
Tuoneane huruma jamani.Acha tu...Vijana wanatuwahi vibaya...
Tufanye mkakati gani Dada nasi tuambulie hata moja jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app

Poapoa ntakukumbusha tena!!Duh
Hivi ndio nakumbuka!
Nimepiga sasahivi hapatikani
Hasa siye tunaotumia App..Mi sioni tag ujue!Mpk niingie jf ndo naona
Uko vzr Dada maandalizi ya xmassSaint Anne ulimuuliza dada Ile spray??View attachment 2046444
Tena nakuja kesho hukoIlete kesho 7,7 baasi![]()

Sasahivi nitakuwa mwaminifu kukumbukaPoapoa ntakukumbusha tena!!
Njoo tu asehh!uniletee nitaila yoooteTena nakuja kesho huko![]()
Majobless hatusubiri notifications

Kabisaa yaani,Mimi sipati hizo kitu kabisaa
Acha tu...Vijana wanatuwahi vibaya...
Tufanye mkakati gani Dada nasi tuambulie hata moja jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app



mkakati wetu ni kumtoa hewani tu huyu la sivyo hatuambui!😂😂😂🤣🤣!Uko vzr Dada maandalizi ya xmass
Tumia browser iko poa zaidiKabisaa yaani,Mimi sipati hizo kitu kabisaa
Na Dada zetu mtufikirie pia..Tuoneane huruma jamani.
Ifike mahala hizi vocha mtuachie majobless![]()

Ooh nimekumbuka sasa


Kabisa..Ukifanikiwa kumpata Max Mweleze juu ya hili piamkakati wetu ni kumtoa hewani tu huyu la sivyo hatuambui!
