Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
..
Nini hiyo mtakatifu
Leo Vocha wapi?Nipo leo sibanduki hapa..naona bila bila tu.Naomba unikaribishe tuishi wote Nkamu

Mjep mimi niliomba vocha zangu unitengee

.

jana umefanya madogo wafurahi na zile vocha.Ulifanikiwa kupata mojawapo?Mjep mimi niliomba vocha zangu unitengee.
Ila asante sanajana umefanya madogo wafurahi na zile vocha.
Naomba siagi hyooo Dada!Uji wa lishe
Karibu
Mimi sikupata maana sikuwa na line zangu muda huo ila nilizitupia kwenye group la majobless wenzangu.
,,KaribuNaomba siagi hyooo Dada!

Ooooooh..sawaMimi sikupata maana sikuwa na line zangu muda huo ila nilizitupia kwenye group la majobless wenzangu.
Walipita nazo zote,,
Zaidi sana wa TTCL wakalalamikwa kwanini wametengwa.
Jinsi watu walivyo fasta..


Naogopa kuongezeka, wacha nibaki na haka kamwili kadogoUji wa lishe
Karibu

Sikia naomba niwe chawa wako au nikope laki 2Mkuu, bila hivyo maisha hayaendikama wanavyosema life bila unafiki kuna kipindi halinogi

Yaani..watu wako fasta vibaya mno..Jinsi watu walivyo fasta..
Sidhani kama mtazipata![]()
Utaniita best Angu sasa watu wapoje fasta na JF kila mtu tajiriJinsi watu walivyo fasta..
Sidhani kama mtazipata![]()
Usibanduke, taja na mtandao kabisaa