Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,739
- 76,374
Nutella! Naupakaa then naulamba taratiibu, kama sitaki vile! [emoji847][emoji847][emoji847]Aisee nutella ama magadi[emoji23]
Nutella! Naupakaa then naulamba taratiibu, kama sitaki vile! [emoji847][emoji847][emoji847]Aisee nutella ama magadi[emoji23]
Na muda[emoji3]Hatutaki picha ya ku Google picha ionyeshe na tarehe[emoji51][emoji3][emoji3][emoji3]
We tatu bora hukosi😍Safi sana[emoji7]
Washiriki wajipange,
Pambano lishakuwa kali mapema[emoji23]
Asante
Nimekamatika[emoji38]
Nimelala naona ndo inazidi.
Asubuhi ya tarehe 31/12 picha zina sefiwa mpaka usiku mshindi anatangazwa😍Na muda[emoji3]
Dah!!salio linatosha kabisa mkuuChristmass hapa inalika sasa View attachment 2046103
Kwem sana mkuuOoh!!kumbe
Bhasi sawa
Kwema lakini mkuu
Unalamba mguu😳 aisee wanaume nyie 🙌Nutella! Naupakaa then naulamba taratiibu, kama sitaki vile! [emoji847][emoji847][emoji847]
Kwema niaje AluwaatanDah!!
Mi boya tena[emoji3]
We jamaa bhana
Kwema lakini mkuu
Dah!! Si awe anafunga shingoni asee!Itakuwa kapoteza simu,maana anaugonjwa wa kupoteza simu
Aiseeeeh.....
Whats wrong?! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]Aiseeeeh.....
Naanzia mguu....siachi kitu!!Unalamba mguu[emoji15] aisee wanaume nyie [emoji119]
Vizuri sana kama ni kwema
Hakuna tatizo lolote mkuu....Whats wrong?! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Baada ya kuzidiwa usiku ,nikasema asubuhi niende kutembea huko mjini ..kuosha osha macho .toka utembee!
Niliamka nikaona najisikia vibaya nikamuita rafiki yangu anitoe nilivyozurulishwaaa mbona nimechangamka!! [emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2046116
Hii mkuu inatosha kabisa kwenda kuenjoy Maldives[emoji4]Christmass hapa inalika sasa View attachment 2046103
Mimi referee[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]We tatu bora hukosi[emoji7]
Shkamoo broChristmass hapa inalika sasa View attachment 2046103
Sawa.Hakuna tatizo lolote mkuu....