Hahaha umesahau natokea kwenye mkondo wa wanywaji...Nikiwa mdogo nilikua natumwa nikachukue gongo yakuchanganya kwenye chakula cha kuku kwa ajili ya kutibu kideri...nilikua natupiamo pafu mbili tatu.
Jilie tu nyama zako aisee (in moderation). Wanasayansi tayari wameanza kusema kuwa kumbe wala hazina madhara makubwa kiafya kama tulivyokuwa tukiaminishwa huko nyuma...
The evidence is too weak to justify telling individuals to eat less beef and pork, according to new research. The findings “erode public trust,” critics said.
huyo mwingine itabidi naye nimfuatilie, ila Hazard aise daah halafu angalau kaptura anazotengenezewa real madrid ni kubwa kubwa kidogo zinakificha kile kiwowowo ila tule tukaptura twake twa chelsea tulikuwa tudogo basi kawowowo unakaona kabisa kalivyotuna.