Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Mimi apahivi humu na utu uzima wangu huu ,naeza pata babe na mimi humu? km yupo ajitokeze basi
Mimi apahivi humu na utu uzima wangu huu ,naeza pata babe na mimi humu? km yupo ajitokeze basi
Vale kabinti kapole sana mnamuonea tuVale changamoto
Wee ndo dokta unakosaje kuja sasa!! Ila sindano za Cha che chiiiiiiiiiiii naziogopa dokta pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!Kwa hiyo mgonjwa nije na nini
Leo huwez kuchoma hizo sindanoo ....Wee ndo dokta unakosaje kuja sasa!! Ila sindano za Cha che chiiiiiiiiiiii naziogopa dokta pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
Kwan ulimanisha nn
Kabisa yani.. Santo sana dokta nilishaanza kuzidiwa kwa kuwaza hizo sindano unajua venye zanimarrlizaga eehhh!!!Leo huwez kuchoma hizo sindanoo ....
Hicho unachowazaKwan ulimanisha nn
Leoo ni mwendo wetu ule ...Kabisa yani.. Santo sana dokta nilishaanza kuzidiwa kwa kuwaza hizo sindano unajua venye zanimarrlizaga eehhh!!!
Mtoto una jicho la kuitaNimesikia kuna ofa
mtu chake hela ya ofa naomba unipe nikale uswahilini wiki nzima.View attachment 2045719
🤣🤣🤣🤣Hicho unachowaza
Weekdays nakuwa a bit tightAnalalamika unamtenga
Mimi nikivurugwa tu naacha.Yeah hata mimi huwa sipendi kupelekeshwa, kazi za ndani ambazo angalau napenda kufanya ni kufua na kusafisha nyumba. Kwa sababu sipendi kuvaa nguo chafu wala sipendi kukaa kwenye mazingira machafu, ila kupika na kuosha vyombo daaaah hapana kwa kweli nisiwe muongo hizo huwa nazifanya basi tu.
Fastaaa nikazoom jicho 🏃🏃🏃🏃🤣🤣🤣Mtoto una jicho la kuita