Selfika na JF: Snap it. Show it

Mganga kasema
 
Mshana Jr huu uzi wako umeshanifanya nikajiona fala na masikini.
Uweke sheria kabisa, tutume selfie zetu sio za vitu vyetu.
Hauwezi amini mzee baba alikuwa anakaribia kuchana nguo ila sasa hivi kalala zake dadeeeek.
Hahah mkuu ishi maisha yako ndio hayo Mungu amepanga. Japo unaweza kuyafanya maisha yakawa kama vile unavyo tamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…