Hujatulia Jack nakwambia
......
Mheshimiwa nimekwisha kueleza
..
Maneno matamu umejwisha niambia
Lakini hata moja bado hujatimiza
Hujatulia h.....nakuambia
Haha kumbe na wewe uko kama mimi? Mimi nikiwa napiga picha eneo fulani lazima nipige angle zote kulia, kushoto, mbele na nyuma utafikiri navuka barabara!