sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Oky
Oky

Kaka tutalima wapi sasa.....
Pole mamiiiiMvua ya leo imevuruga mambo
Ratiba .
Pole dear .Mvua ya leo imevuruga mambo
Ratiba .
Nimeitamani hii
Lakini mh!AsantePole mamiiii
Kaka?!Kaka tutalima wapi sasa.....
Mvua hii inaharibu mamboYaani
Nimerudi kulala.
Sehemu ninayosali ujenzi haujakamilika bado kwa hiyo kukiwa na mvua ni changamoto.Mvua hii inaharibu mambo
Vipi mzima ?
Naweza kuja kukukinga na ule mwamvuli mkubwa, vipi nije?Sehemu ninayosali ujenzi haujakamilika bado kwa hiyo kukiwa na mvua ni changamoto.
Mimi mzima,
Mungu ni mwema
Unaendeleaje??



Kitaalamu zaidi.Nimenenepa sana nkamu sijui hata ni nini wakatu nna stress vibaya mno![]()
Pole aseeNipo mkuu nakula drip hospital tu, afya imeteteleka kidogo View attachment 2041004
Utawakinga wangapi?Naweza kuja kukukinga na ule mwamvuli mkubwa, vipi nije?![]()
Pole mkuuuNipo mkuu nakula drip hospital tu, afya imeteteleka kidogo View attachment 2041004
Mshukuru Mungu Mvua imenyesha.Sehemu ninayosali ujenzi haujakamilika bado kwa hiyo kukiwa na mvua ni changamoto.
Mimi mzima,
Mungu ni mwema
Unaendeleaje??