Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mvua kubwa Dar!!Mshukuru Mungu Mvua imenyesha.
Zinyeshe mkoani tukalime.
Mvua kubwa Dar!!Mshukuru Mungu Mvua imenyesha.
Wengine hata hiyo kazi ya kwenda j2 na mvua wanaitafuta,hawana.View attachment 2041225
Tutafute pesa jumapili sio siku ya kuja kazini hasa na mvua hii🥲🥲🥲
Hapo shida , ni kama kanisani kwetu tunasali eneo la wazi toka corona ije ndo kabisa hatujarudi kanisa la ndani .
Nipo poa .



Ooh ok maana sielewi na nanenepa 🤔Kitaalamu zaidi.
Stress zinapelekea mtu kunenepa.
Wengine hata hiyo kazi ya kwenda j2 na mvua wanaitafuta,hawana.
Unapanga tu ratibaNkamu jumapili ni siku ya kumshukuru Mungu
Unapanga tu ratiba
Unachomoka kwenda church![]()

Junapili ni siku ya kwenda kanisani.Wengine hata hiyo kazi ya kwenda j2 na mvua wanaitafuta,hawana.





DahUkitoka tu dakika tano unapigiwa simu![]()
Wengine wanaenda jmosi.Junapili ni siku ya kwenda kanisani.
View attachment 2041225
Tutafute pesa jumapili sio siku ya kuja kazini hasa na mvua hii🥲🥲🥲




dea zawadi angu ya tende?Dogo mambo.dea zawadi angu ya tende?
Poaa cc shikamoo.Dogo mambo.
Twende kanisani.




Ikiisha nakuja kukuchukua.Poaa cc shikamoo.
Twende na hii mvua? Tutafika church tumelowa mwli mzima![]()
Sawa.Ikiisha nakuja kukuchukua.
Siyo mvua inaisha na wewe unapotea humu😆,Sawa.
Siyo mvua inaisha na wewe unapotea humu,
Utanipa kazi ya kukufwata hapo hostel zenu kama cate hotel.




kwani kanisa liko wapi? Afu mie mbna sikai hostel, tutaktan kituo cha mwendokasi hapo Maji.hahahahhahaha Fs kuna mvua huku niliko.....usiniletee shetani niwaze mabayaUmefurahia kuwa mbu eeh, usingeishi muda mrefu ulivyo mkorofi ungefia kwenye papuchi day one tu unapigwa bonge kofii![]()


naitaka pepo kwa udi na uvumbu
Not climate, it's a weather condition mkuuDear climate
Dsm