Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tupo,mkeshaji mwenzetu upo?
Nipo mkuu nakula drip hospital tu, afya imeteteleka kidogo
20211211_234100.jpg
 
Kuna aina tofauti za Jack Daniels na ujazo tofauti pia inategemea sehemu gani unanunua.
Nlikua nambishia rafk angu nkamuambia hakna pombe inayozidi elfu 50, sasa nlikua naogopa kukuuliza, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kheeeeh bas watu wana pesa, pombe ya 65k inajaa lita 5 au? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom