cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Naenda free kabisa.na ukatafuta kweli ili uende turkey, cc bhana lol





Kwa mara ya kwanza leo nimeshuhudia kigodoro
Aisee zile ngoma wanazicharanga hadi raha,nikatamani na mimi nikachezeView attachment 2039669




siku hiyo natoka chuo jion, karibu na mtaa wa home nakutan na kigodoro jaman wale watu wanasasambua, af had mwanaume wanakata viuno hataree lol. 


Naenda free kabisa.
Huku kuna watu wanateseka duniani huko ili wajaribu kama wataweza kwenda.
Nina ofa yao.
Basi wanaona big deal na wakati ni vitu vidogo maishani.



kanibebee zawadi huko.Asa Wii hebu shika hiyo camera vizuri basi
Mimi siendi,kanibebee zawadi huko.

Camera inakataa kabisaAsa Wii hebu shika hiyo camera vizuri basi

Nilikuwa sijawahi ona aiseee.siku hiyo natoka chuo jion, karibu na mtaa wa home nakutan na kigodoro jaman wale watu wanasasambua, af had mwanaume wanakata viuno hataree lol.
![]()

Mimi siendi,
Narudi nyumbani.
Nataka wakasuuze macho wale wanaoona kule ni bidmg deal![]()




umenkumbusha kitu iv aah, ila watu wanaona kwenda nje n big deal sana.Selfika nkuone bas nawee,Kesho nayo ni siku.View attachment 2039886
Kigodoro n nomaNilikuwa sijawahi ona aiseee.
Zile ngoma zinapigwa yaani aiseee![]()



Lile jibu ndio halijatoka mpaka Leo usinifanyie hivo