Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,379
- 88,735
Niringe. Ninalo la kuvalia suruali tuu
Wewe si umepewa tako
Wewe si umepewa tako
Si ulikua wan'gan'gana upewe sura nzuriWakati wenzangu mnapew nywels sijui nilikua wapi

Aiseeee🤣🤣🤣🤣ana miguu kama miwa ya nyongeza


Niringe. Ninalo la kuvalia suruali tuu
Umejuaje??
daaaaah jamaa kanidukua bwana daaah ila sio kesi....ngoja na mm niukimbie huu uzi![]()
Nimeanza kuzisaka hivyooo 🔥🔥🔥🔥
Kwako mwal kashasha🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Umegoma kuamini kwamba natembelea makalio? Picha zangu zote nilizopost ziangalie nimepigia wapi.
Watoto wazuri mjini hatupandi daladala weweView attachment 1224121