Nipo kote kote mkuu wangu. Kule kwenye likes nilishatoka mazima. Huwa nasaka sehemu salama ambako kuna upendo, vicheko na furaha. Huku kulikuwa salama sema tu hivi karibuni kuna pepo la ushoga limeng'ang'ania halitaki kuondoka na wananzengo wanaporomosheana matusi hatari. Kuna haja ya kupumzika kidogo mpaka kutakapotulia. Kama kuna chimbo jingine ambako kuna furaha na upendo kama ilivyokuwa hapa nielekeze
Kwa utashi na hekima kuu una nafasi adhimu ya kufanya hili liwezekane..
Mjukuu ni utashi na hekima tuu.. Sio uonevu wala si kutafuta mkosaji ...ni UTASHI na ni HEKIMA.. Haya mawili huepusha shari nyingi.. Ukiweza YAZINGATIE.. nimetumia neno UKIWEZA ambalo bado linaturudisha kwenye UTASHI
kila angle kuna mwamba, just imagine naaambiwa mie mwamba wa ktk kupiga spana na kupangua hoja kwenye mada flani iv, afu naaambiwa nafanya hivyo huku natabasamu