nimecheka sana, hadi mbavu zinauma, ko hayo yote unayajua? Tena navalia na kijora changu pambeeee naenda kusasambua had nyonga zijute kukaa kiunoni kwangu
Afu mie sio mgomvi wala mkorofi, km kweli wee unaona sawia, afu sipendi kuzungumzia hilo suala mahali pasipohusika, tatizo ni hao straight bubu wakiona Id yangu wanahemkwa, sasa wakinichokoza sinaga moyo wa uvimilivu mie, nalianzisha na mie muda huo huo.
Huu uzi sitoki kamweee, na km unategemea nitatoka basi utasubiri sana,
. Km huwa mnanipanikisha ili nitoke thubutuuuh mjipange physiological, maana ndo kwanza mabegi nimeyatua hapa
Hebu relaaaaaax wee mzeee, unajua unatakiwa usijihusishe na stress na mawazo yasiyo ya lazima. Furahia huo uzee.