Selfika na JF: Snap it. Show it

#PrayerMountain#
#MaombiNiAkiba#

Tusisahau kusali wapendwa, especially wakati ambapo kuna amani na shwari kuu kwenye maisha yetu. Wakati wetu wa tabu na dhiki; hata nguvu za kufungua mdomo na kuomba wengi wetu huwa tunakosa. Akiba yetu ya maombi tuliyojiwekea, inatusaidia tunapokuwa dhaifu na kuishiwa nguvu. Methali 24:10 "Ukizimia siku ya taabu, nguvu zako ni chache"

WAKE
PRAY
SLAY.

Saint Anne niendelee na slaying time ama nisiendelee?
 
Amen dada.


Somo hili ni zuri mno,,nilifundishwa mahala ila sikuweza kulielewa haraka.

Nilifanya kusali tu hivyohivyo ila kumbe yale maombi huwa ni potential kubwa.


Kuna wakati wa shida unafika,hata nguvu ya kusali Inapotea..ile akiba ndio huwa msaada.

Ubarikiwe kwa somo zuri...
Nadhani ile akiba yangu kuna mahala ilinivusha na bado naitumia,,,sasa ni muda wa kujenga tena akiba nyingine.

Wakati wote Mungu ni mwema.



Tuendelee na picha zako sasa ili nileft mazima



Tùendelee na Neno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…