Selfika na JF: Snap it. Show it

😀😀😀😀😀 na hii ni 13 sijui 14 itakuwaje... mie fogo wapi mkuu wangu.. mie Kijana wa hovyo hovyo .. ushawai kuona fogo anashinda JF nipo hapo chuo cha ustawi wa jamii nakul shule
 
Ni kweli, hujui miaka mitano mbeleni kuna vitu hunadirika kwenye maisha
 
na hii ni 13 sijui 14 itakuwaje... mie fogo wapi mkuu wangu.. mie Kijana wa hovyo hovyo .. ushawai kuona fogo anashinda JF nipo hapo chuo cha ustawi wa jamii nakul shule
Naona kabisa nitaanza kushawishika kununua hivyo viapple vyenu wakati mimi ni team samsung kindakindaki

Aahh yawezekana unashinda humu kumbe una channels shazi za dinero ila umeweka watu wakufanyie kazi tu
 
Naona kabisa nitaanza kushawishika kununua Hivyo viapple vyenu wakati mimi ni team samsung kindakindaki

Aahh yawezekana unashinda humu kumbe una channels shazi za dinero ila umeweka watu wakufanyie kazi tu
aah! wapi mie ni jobless mpambanaji siku nikipata kibarua huwa napotea jf, michongo imekata tunashinda tu gheto mkuu.. noma tu kimbilio JF tunatoa stress
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…