Daah sema camera za iphone macho matatu ni konyo kwa kweli, yaani kitu crystal clear.
Ningekuwa sikufahamu kama wewe ni fogo ningesema huyo siyo wewe umechukua picha ya mtu mwingine, si unatujua tena wabongo mtu akiwa hana analazimisha wote wawe hawana kama yeye.