Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha.....we jamaa bhana

Ufupi wa vidole unasadifu kuwa sikio la chini nalo ni fupi
Ndio maana yake mkuu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, kuna vidole mmoja alionesha ila vya mikononi, maana yake ile ndefu ( kina kirefu ) yenye wave flanihivi, ile nyembamba tamuu πŸ‘΄πŸΎπŸ‘΄πŸΎπŸ‘΄πŸΎ
 
Aah we fundi magari umesomea lini udaktari hadi kufikia kuspecialize na kuwa gynaecologist
Hujui mfumo wa magri hauna tofauti na binadamu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Ukuje tutakupima na tutaonesha kila kitu
 
Mdogo wangu hebu acha kunichekesha. Hebu usibishane bhana tuache tu huu mjadala yasije yakazuka mengine hapa.


Huyu Kijana wa hovyo hovyo wala asikupe taabu sie waarabu wa pemba twajuana kwa vilemba. Najua kabisa alishanielewa ila ananifanyia makusudi tu maana huyu akili zake zinamtosha mwenyewe.
 
Sikusema yko huko ulikowaza wee, hata muhusika nliyekua namjibu hakumaanisha hivyo,

Yeye alisema ypo katkat, ktk utom boy na fame, sasa cc ang mie Tom boy haswaaaaah.

Ungeuliza kwanza ueleweshwe Lol.
Dooh basi itakuwa nami nilikuelewa vibaya. Niliuliza kama yuko kwa ile society nikimaanisha LGBT so ulivyosema yuko huko nikajua ni lesb ndiyo maana nikasema mie siko huko mimi ni kama tom boy fulani tu (kwa maana kwamba siwezi urembo wala kujiweka kisister du) lakini i am straight.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…