Hahaaa hata mie ulivyosema tu una sis wako tom boy nikawaza hivyo kuwa mmebadilishana! Anyway i hope hayuko kwa ile society kindakindaki au na yeye ni one of them?
Dooh yaani bora hata ungesema "mie ndiyo daktari wa wanawake najua ukweli" walau ungeweza kunishawishi ila kumbe ni mwanaume tu? Kwamba ukishakuwa mwanaume tu basi automatically utajua kila kitu kinachohusiana na uzazi kwa mwanamke?
Dooh yaani bora hata ungesema "mie ndiyo daktari wa wanawake najua ukweli" walau ungeweza kunishawishi ila kumbe ni mwanaume tu? Kwamba ukishakuwa mwanaume tu basi automatically utajua kila kitu kinachohusiana na uzazi kwa mwanamke?
Dooh yaani bora hata ungesema "mie ndiyo daktari wa wanawake najua ukweli" walau ungeweza kunishawishi ila kumbe ni mwanaume tu? Kwamba ukishakuwa mwanaume tu basi automatically utajua kila kitu kinachohusiana na uzazi kwa mwanamke?