Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wale wa enzi hizo...
20211130_184553.jpg


Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
wazinguaji wengi.
Mahusiano ya kimtandao wengi wanachukia kwa sababu ni rahisi zaidi mtu kujenga character flani ambayo si yake. Siku unajua uhalisia its too late.

hata wanawake sijui zile picha wanapigia angle gani , unaona ana umbo zuriii, ukimuona sasa live utakimbia🤣🤣🤣.

Wengi wanakua dis appointed.
Inasikitisha sana.. in smarts voice khakhaa!!!
 
Kwani jamaa ake alikuwa nani hata sifahamu mkuu.

Ndio bi mdada anasema wameshindanwa na watu wa jf.
Ukamuulize nini mkuu acha ukorofi basiii! Afu msimsumbue pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!! Hanaga tabu na mtu yule😳😳😳😳😳😳
Hanaga tabu na mtu kweli..umemfanya Kama mpooza Yani😅
 
Back
Top Bottom