Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Satoh Hirosh katibu mkuu wangu
8AD62982-CFBB-4427-8F03-121ED8E01E19.jpeg
 
Kupata mpenzi atakae weza kusema "am taken" angali yupo mbali na mpenzi wake, ni kibarua haswaa..

Japo zipo ladies ni hatari na nusu, anakukazia macho with soft language "am taken controla i cant hurt him" yani hataki kukupoteza "as a friend" na hataki msaliti Mpenzi wake, Damn....

unajisemea kimoyo moyo Pamoja na kanichomolea i have to give her a present bila kumpa maelezo kwann nimempa hiyo zawadi.

sure this kind of ladies,nawatunukugu zawadi Ambazo hudhani ni kwasababu nmempenda ila kumbe nmempa kwasababu ya Misimamo yake mitamu tamu.. isiyo na ukakasi.

anakuchoma sindano huku anakupa polee nyingiiiii wakati inauma....
Mkuu wakaka huwa mnaweza kusema "im taken"??
 
Back
Top Bottom