😬😬 Satoh Hirosh umeona maneno hayaaa... aaah! mie simo huko ... najua hakuna mwanamke ananitaka na mie siwataki pia 😀😀
Ahaaa mtu mmoja akikosea ndio woteNehii nehiii!!! Mi wajeiefu tulishashindwanaga longiii!!
![]()

😀😀😀😀 tulikuwa tukitoroka shule ukipita kwenye machaka yananasa majanii na yale ma mibaaa dah... ilikuwa unakuwa safe upate zile za mtumba
Mwaga pesa mbona wenyewe wataingia kingi tu!😁😬😬 Satoh Hirosh umeona maneno hayaaa... aaah! mie simo huko ... najua hakuna mwanamke ananitaka na mie siwataki pia 😀😀
Hakuna aliyekosea!! You are all rait!😂
Naona unatupambania mzeebaba...hakikisha hadi anaelewaa hahahaha
Naona unatupambania mzeebaba...hakikisha hadi anaelewaa hahahaha


naona vijana mnafeli acha niwasaidieUnaonekana mtundu sana, unapatikana hapa mjini daslam?Hakuna aliyekosea!! You are all rait!![]()
Kabisa mkuu. Si unaona hata machimbo anayolia bata.Najua mwamba ni fogo...tena mnene hasa
Hizo pesa zinatoka wapi 😀😀 tusio na pesa mbona mnatunyanya sanaaaaMwaga pesa mbona wenyewe wataingia kingi tu!😁
Boya tu miye!!Unaonekana mtundu sana, unapatikana hapa mjini daslam?
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣!!Hizo pesa zinatoka wapi 😀😀 tusio na pesa mbona mnatunyanya sanaaaa
Mkuu wakaka huwa mnaweza kusema "im taken"??Kupata mpenzi atakae weza kusema "am taken" angali yupo mbali na mpenzi wake, ni kibarua haswaa..
Japo zipo ladies ni hatari na nusu, anakukazia macho with soft language "am taken controla i cant hurt him" yani hataki kukupoteza "as a friend" na hataki msaliti Mpenzi wake, Damn....
unajisemea kimoyo moyo Pamoja na kanichomolea i have to give her a present bila kumpa maelezo kwann nimempa hiyo zawadi.
sure this kind of ladies,nawatunukugu zawadi Ambazo hudhani ni kwasababu nmempenda ila kumbe nmempa kwasababu ya Misimamo yake mitamu tamu.. isiyo na ukakasi.
anakuchoma sindano huku anakupa polee nyingiiiii wakati inauma....