Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Nakazia!🙃🙃🙃Hanaga tabu na mtu kweli..
Nakazia!🙃🙃🙃Hanaga tabu na mtu kweli..
Unamfundisha mwenzio tabia mbaya!😁Haha gusia na swala la kufungua piemu
Hilo halina ubishii...lakini kuiba iba namo kumooo! Mkojozajiiii!! Mi Namuelewa mtu mmoja tu humu! khakhhaa!!
!!
PM hadi atoe ruksa ukienda hovyo utagonga mwambaHaha gusia na swala la kufungua piemu

Hili ndio tatizo la kua na mtu mmoja tu maisha yote! Mkojozajiiii!! Mi Namuelewa mtu mmoja tu humu! khakhhaa!!
!!

🤣🤣🤣🤣Tatizo binadamu wabishi sana khakhaa...Hilo halina ubishii...lakini kuiba iba namo kumooo
Mpaka kaumba tena yaniSo beautiful!!!! Mungu kaumbaaa aseeh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hujamaliza ndo tatizo la kuwa na mtu aliebarikiwa sanaaaaaaa! Ukimkosa unaanza kurandaranda tu na dunia🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙄🙄🙄🙇🙇🙇🙇Hili ndio tatizo la kua na mtu mmoja tu maisha yote
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
HakikaWamuache aisee!! Miongozo anatoa kwa bebi wake tu! Labda Na mashetani yakwao yakiamka ndo anachatchat otherwise hanaga mambo mengi ni komenti fupifupi kamaliza!
Kama sio ushemeji ushemeji ule mimi mwenyewe nilikuelewaga wewe tuTatizo binadamu wabishi sana khakhaa...
Nikikuelewa mbona nakugea vizuri tu maisha ndo hayahaya!!!!![]()





nimeona tu nisemeeKamuulizeMiongozo ndio nini.
Yaniii..fanya hima nawe tuone alivyoumba tena na tena na tena!!Mpaka kaumba tena yani
Ahaaa huwezi jua wengine wamebarikiwa kiasi ganiHujamaliza ndo tatizo la kuwa na mtu aliebarikiwa sanaaaaaaa! Ukimkosa unaanza kurandaranda tu na dunia
![]()

Lakini ni jambo jema kama bado mnaelewana.Weee tusolve nanani!!??😳😳 It's over between us!!!! Overrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!🙃🙃🙃🙃🙃
Hainaga ushemeji tunakulaga ....!!😜Kama sio ushemeji ushemeji ule mimi mwenyewe nilikuelewaga wewe tunimeona tu nisemee
Maisha yanaenda hata kama hawatutaki aseee.. hao mama zetu wazuri sana ila mmh😄😄😄Tatzo lako huwajui wanawake mkuu
mwanamke hapendi mwanaume anayelialia na kulalamika,Kwa hiyo kaza Bob ✊..eeh tukaze mkuu😅
Me mfukoni apecha alolo lkn siendi nao kinyonge,nakomaa nao Tu kibabe😂
Thubutu yao! Waseme wachekwe?Hivi huwa hawasemi eeh??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Njoo tu nakusubiri... 🙇
Kama bado tunaelewana nanani?????Lakini ni jambo jema kama bado mnaelewana.