Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hili ndio tatizo la kua na mtu mmoja tu maisha yote

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hujamaliza ndo tatizo la kuwa na mtu aliebarikiwa sanaaaaaaa! Ukimkosa unaanza kurandaranda tu na dunia🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙃🙄🙄🙄🙇🙇🙇🙇
 
Tatzo lako huwajui wanawake mkuu

mwanamke hapendi mwanaume anayelialia na kulalamika,Kwa hiyo kaza Bob ✊..eeh tukaze mkuu😅

Me mfukoni apecha alolo lkn siendi nao kinyonge,nakomaa nao Tu kibabe😂
Maisha yanaenda hata kama hawatutaki aseee.. hao mama zetu wazuri sana ila mmh😄😄😄
 
Back
Top Bottom