Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwenye story zenu huko si nilisikia ni Mshana Jr ?
Tayari mshabadili
Mimi nakataa kabisa..na niliuona huo Uzi wa bro Mshana Jr

kwenye ule Uzi Kuna sifa ya huyo Demis hao wanaomjua waliitaja nilicheka sn.. wanasema ana pua kubwa 'kweri kweri' kuliko ya Baba levo

Sasa hii sifa ya pua kubwa Tyr inakutenganisha wewe na yeye,wangesema Una dimpozi ya shavu moja ningekubali

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Karibu
20211129_160351.jpg
 
Mimi nakataa kabisa..na niliuona huo Uzi wa bro Mshana Jr

kwenye ule Uzi Kuna sifa ya huyo Demis hao wanaomjua waliitaja nilicheka sn.. wanasema ana pua kubwa 'kweri kweri' kuliko ya Baba levo

Sasa hii sifa ya pua kubwa Tyr inakutenganisha wewe na yeye,wangesema Una dimpozi ya shavu moja ningekubali

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Duh. Hahaha
 
Back
Top Bottom