Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,859
Mimi nakataa kabisa..na niliuona huo Uzi wa bro Mshana Jr
kwenye ule Uzi Kuna sifa ya huyo Demis hao wanaomjua waliitaja nilicheka sn.. wanasema ana pua kubwa 'kweri kweri' kuliko ya Baba levo

Sasa hii sifa ya pua kubwa Tyr inakutenganisha wewe na yeye,wangesema Una dimpozi ya shavu moja ningekubali

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app






